Viungo vya Juu
“ Kituo Cha Fursa ”
Karibu Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa. Fuata maelekezo yafuatayo ili kujiunga na programu zetu za mafunzo.
Waombaji wote wanapaswa kuchukua fomu ya maombi inayopatikana kupitia:
Waombaji wa ngazi za NVA I, II na III wanatakiwa kulipa ada ya fomu isiyorejeshwa ya:
Mkuu wa Chuo
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa
P.O. Box 339,
Morogoro, Tanzania
📞 +255 (0)719 576 309
📞 +255 (0)713 423 475
✉ usajili@bigwafdc.ac.tz
🌐 www.bigwafdc.ac.tz